Sun, 15 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) Yanga wapo ugenini kati Dimba la Jamhuri kuwakabili Dodoma Jiji.
Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) Yanga wapo ugenini kati Dimba la Jamhuri kuwakabili Dodoma Jiji. Mchezo huo wa raundi ya 24, ligi Kuu Bara unatabiriwa kuwa wa ushindani kutokana na Yanga kuhitaji zaidi alama 3 baada ya sare mfululizo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live