Sun, 15 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tyari Yanga wameshawasili katika Uwanja wa Jamhuri tayari kabisa kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya NBC, dhidi ya Dodoma Jiji.
Yanga wanaongoza Ligi wakiwa na alama 57 huku Dodoma wakiwa na alama 28 pekee.
Tazama Yanga wakiingia Uwanja wa Jamhuri;
Kikosi kimeshawasili Uwanja wa Jamhuri????????#TheClubAboveAll #TimuYaWananchi pic.twitter.com/KFp3JglMZm
— Young Africans SC (@yangasc1935) May 15, 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live