Mon, 7 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba SC watashuka dimbani kupambana na Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) 2021/2022.
Simba wanahitaji ushindi angalau kupunguza pengo baina yake na Vinara Yanga waliopo lkileleni kwa tofauti ya alama 11.
Simba leo inakwenda kwenye mchezo huo ikiwa na kumbu kumbu ya ushindi mnono wa magoli 3-0 dhidi Biashara United.
Hiki hapa kikosi cha Simba kinachoanza mchezo wa leo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live