Wed, 1 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muda mchache ujao katika dimba la Mkapa Jijini Dar es Salaam, mabingwa watetezi Simba SC watawakaribisha wachimba madini wa Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu 2021/2022.
Mchezo huo wa raundi ya saba unapigwa majira ya saa 1:00 usiku, sasa hiki hapa kikosi cha wekundu wa Msimbazi.
✍️ Kikosi cha kuwakabili wachimbaji wa madini. #NBCPremierLeague #NguvuMoja pic.twitter.com/7BSYs9QmDd
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) December 1, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live