Fri, 24 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kushindwa kucheza mchezo wao uliopita dhidi ya Kagera Sugar, leo wako dimbani Kule Mkoani Tabora kukipiga na KMC.
Mchezo huo utakuwa na ushindani kutokana na kila timu kuhitaji ushindi ili kujifanikishia malengo yao.
Hiki hapa Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kinachoanza;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live