Sun, 26 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vinara wa Ligi Kuu Bara, Young Africans wanashuka dimbani majira ya saa moja usiku kupambana na wanajeshi wa mpakani timu ya Biashara united.
Yanga wanasaka ushindi kwa kila hali kuhakikisha wanatimiza azm yao ya kubeba ubingwa walioukosa kwa miaka minne mfululizo.
Kwa mara ya kwanza leo Yanga watakuwa na kiungo wao Balama Mapinduzi aliekosekana kwa miezi 17 kutokana na majeraha.
Tazama hapa chini kikosi cha Yanga;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live