Sun, 26 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Biashara United wanakwenda kuwa wageni wa Vinara wa Ligi Yanga katika Uwanja wa Kumbu kumbu ya Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Biashara wanapamban kuhakikisha wanatibua rekodi ya Yanga ya kutopoteza mchezo katika msimu huu Ligi Kuu.
Biashara wanaanza bila kinda wao Denis Nkane, Tazama Kikosi kamili cha wanajeshi wa mpakani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live