Sun, 19 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Feisal Salum na Daktari wa mpira Khalid Aucho wametosha kuwapa burudani mashabiki wa Yanga kwa dakika 45 za kipindi cha Kwanza.
Kiungo Feisal Salum na Daktari wa mpira Khalid Aucho wametosha kuwapa burudani mashabiki wa Yanga kwa dakika 45 za kipindi cha Kwanza. Tanzania Prisons ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa mbangula 12' ya mchezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live