Sun, 27 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wekundu wa Msimbazi Simba SC wanatakata ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza katika Uwanja wa Ushirika Moshi dhidi ya wenyeji Polisi Tz.
Wekundu wa Msimbazi Simba SC wanatakata ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza katika Uwanja wa Ushirika Moshi dhidi ya wenyeji Polisi Tz. Simba wanaongoza kwa magoli 2-0 yaliyowekwa wavuni na Nahosha John Rafael Bocco na Moses Phiri akimaliza kwa umaridadi pasi ya kiungo wa Kimataifa wa Zambia Clatous Chama.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live