Sun, 15 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za Kipindi cha Kwanza zinatamatika katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma huku Yanga wakienda mapumziko kifua mbele kwa Uongozi wa magoli 2-0.
Magoli mawili ya Dickson Ambundo na Zawadi Mauya yametosha kuwapa Yanga furaha baada ya kushindwa kufanya hivyo katika michezo yake mitatu iliyopita.
Kipindi cha pili walimu watarudi na mbinu gani kuhakikisha wanaibuka na alama tatu kwa kila timu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live