Fri, 4 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za Kipindi cha Kwanza zimekamilika katika Uwanja wa Azam Complex, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Ni Azam FC wanaokwenda kifua mbele wakiwa wanaongoza kwa goli 1-0 lililofungwa dakika ya tano na Rodgers Kola.
Ibrahim Ajib anaonekana kufanya kazi kubwa katika mchezo wa leo, huku Dodoma Jiji wakijaribu kushambulia kwa kushtukiza ili waweze kusawazisha goli.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live