Thu, 27 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zinakamilika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa huku wenyeji Azam FC wakienda mapumziko wakiwa kifua mbele.
Azam wanaondoka na uongozi wa bao 1-0 lililopachikwa na Prince Dube ambae ameonekana kupata bao baada ya kipindi kirefu kupita.
Simba wametengeneza nafasi kadhaa lakini wameshindwa kuzitumia vyema huku Erasto Nyoni akionekana kufanya makosa katika eneo la beki wa pembeni analocheza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live