Fri, 31 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezo wa Ligi Kuu Bara umetamatika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa Magoli 4-0 katika uwanja wa Mkapa.
Mchezo wa Ligi Kuu Bara umetamatika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa Magoli 4-0 katika uwanja wa Mkapa. Magoli ya Yanga katika mchezo wa leo yamefungwa na Fiston Mayele, Jesus Moloko, Justine aliejifunga na Khalid Aucho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live