Sun, 26 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Magoli mawili ya Fiston Mayele kipindi cha kwanza na Saido Ntibazonkiza yanawahakikishia Yanga kuondoka na alama tatu kwa Mkapa Dar es Salaam.
Ushindi huo wa magoli 2-0 dhidi ya Biashara unawafanya Yanga kuzidi kujikita kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara 2021/2022.
Goli la Biashara katika mchezo wa leo limefungwa na Atupele Green dakika ya pili kipindi cha kwanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live