Sun, 26 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC 2021/2022 umemalizika katika dimba la Kaitaba kwa wageni Tanzania Prisonds kuibuka na ushindi mwembamba.
Ushindi huo wa goli 1-0 unapunguza mfululizo wa matokeo mabaya kwa Prisons ambao mwendo wao sio wa kuridhisha msimu huu.
Goli hilo pekee la ushindi limefungwa na Marco Mhilu dakika ya 78 ya mchezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live