Fri, 24 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba SC, wameibuka na ushindi mnono wa Magoli 4-1 dhidi ya KMC katika Dimba la Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora.
Mabao ya Simba katika mchezo wa leo yamefungwa na Mohammed Hussein, Joash Onyango na Kibu Denis aliefunga magili mawili.
Simba kwa sasa inakamata nafasi ya pili nyuma ya Vinara wa msimamo timu ya Wananchi Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live