Sun, 30 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Pape Ousmane Sakho kwa mara nyingine anaandika bao la pili kwa upande wake ambalo ni la tano kwa Simba katika mchezo wa leo.
Pape Ousmane Sakho kwa mara nyingine anaandika bao la pili kwa upande wake ambalo ni la tano kwa Simba katika mchezo wa leo. Simba wametawala eneo kubwa la mchezo jambo linaloonesha kunaweza kupatikana magoli zaidi ya yalivyo hivi sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live