Mon, 7 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mambo yanazidi kunoga katika Dimba la Mkapa,Jijini Dar es Salaam mchezo wa Ligi Kuu Bara.
Meddie Kagere anaiandikia Simba bao la Pili na kuwafanya Simba kujiamini baada ya kucheza kwa presha kwa muda mrefu.
Mpaka sasa ni dakika ya 85, Simba wanaogoza kwa magoli 2, Dodoma Jiji wakiwa hawajapata kitu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live