Wed, 9 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba wanarudi mchezoni katika Uwanja wa Liti Mkoani Singida mchezo wa Ligi Kuu kwa bao la Peter Banda alieingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Jonas Mkude.
Simba wanarudi mchezoni katika Uwanja wa Liti Mkoani Singida mchezo wa Ligi Kuu kwa bao la Peter Banda alieingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Jonas Mkude. Simba wanapeleka mashhambulizi langoni mwa Singida tangu kuanza kwa kipindi cha pili jambo linaloonesha kuwa mabadiliko ya kuingia Banda yameleta uhai.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live