Sun, 30 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika tatu tu tangu kuanza kwa kipindi cha Pili simba wanapata bao la pili mbele ya wakata miwa kutoka turiani timu ya Mtibwa Sugar.
Dakika tatu tu tangu kuanza kwa kipindi cha Pili simba wanapata bao la pili mbele ya wakata miwa kutoka turiani timu ya Mtibwa Sugar. Ni Pape Ousmane Sakho anawainua wana Msimbazi dakika ya 48 ya mchezo kwa bao safi akimuacha mlinzi wa Mtibwa hana la kufanya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live