Sun, 15 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bado Yanga wanaendelea kutakata katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Golikipa wa Dodoma anajifunga baada ya kushindwa kuhimili shuti kali liliachiwa na Kiungo wa Yanga Zawadi Mauya.
Bado Yanga wametawala sehemu kubwa ya ,mchezo kwa dakika hizi 37 za kipindi cha kwanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live