Sat, 22 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manungu pa moto kweli kweli. Burudani ya Soka inayotolewa baina ya Mtibwa na Simba si ya kitoto.
Mtibwa wanaonekana kuwa tishio kwa kulazimishha kukutana na Aishi Manula huku Simba wao wakiwa bado hawajafanya shambulizi lolote la hatari kwa dakika hizo 30, licha ya kuanza na washambuliaji wake hatari wawili.
Hali ya uwanja sio mbaya kupitiliza japokuwa kuna baadhi ya maeneo yana tope na hali ya umaji maji.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live