Sun, 10 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mpaka dakika 25 za Kipindi cha kwanza zinakatika, hakuna timu iliyofanikiwa kupata angalau goli la kuongoza mchezo wa Ligi Kuu tanzania Bara kati ya wenyeji Polisi Tanzania dhidi ya Simba SC.
Kila timu inafanya jitihada za kushambulia kuhakikisha wanapata goli la uongozi kabla ya kwenda mapumziko.
Golikipa wa Simba, Beno Kakolanya ameondoa hatari nyingi kutoka kwa Polisi Tanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live