Fri, 3 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, wanauanza mchezo kwa kasi na usajili mpya mshambuliaji Jean Baleke anaitanguliza Simba kwa bao la uongozi.
Baleke anafunga bao lake la pili Ligi Kuu Bara akimaliza mpira wa faulo uliopigwa na Clatous Chama.
Simba wametawala sehemu kubwa ya mchezo kwa dakika hizi chache tangu kuanza kwa mchezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live