Jana Disemba 23, Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) imeendelea kwa michezo miwili ambayo yote ilishuhudia yakipatikana magoli.
Geita Gold FC vs Polisi Tanzania
Katika mchezo huu Geita waliibuka na ushindi wa Goli 1-0, na kuwaduwaza maafande hao wa Ligi Kuu.
#NBCPL Hili hapa goli la pointi tatu kwa Geita Gold…. Adili Buha anajifunga kona ya Amos Charles.
— Azam TV (@azamtvtz) December 23, 2021
FT: Geita Gold 1-0 TZ Prisons.#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #GeitaGoldFC #TanzaniaPrisons #GeitaGoldPrisons pic.twitter.com/ZsmvbjOY4R
Azam FC vs Ruvu Shooting
Matajiri wa Jiji, Azam FC waliibuka na ushindi mnono wa magoli 4-0.
#NBCPL Goli la kwanza ni la kujifunga kupitia kwa Michael Masinda.
— Azam TV (@azamtvtz) December 23, 2021
60’: Azam 3-0 Ruvu
LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #AzamFC #RuvuShooting #AzamRuvu @azamfc pic.twitter.com/wrldeKCVzA
#NBCPL Goli la kufutia machozi kwa Ruvu Shooting kutoka kwa Sadat Mohamed Nanguo.
— Azam TV (@azamtvtz) December 23, 2021
FT: Azam 4-1 Ruvu. #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #AzamFC #RuvuShooting #AzamRuvu pic.twitter.com/QVXOpcdNUV