Mon, 3 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba SC jana Oktoba 2 kiliwakaribisha Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mchezo huo ulipigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam na wenyeji wakaondoka na alama tatu baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 3-0.
Tanzaniaweb imekusogezea matukio yote muhimu katika mchezo huo, tazama video.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live