Disemba 17, Ligi Kuu Bara maarufu kama NBC Primia ligi msimu wa 2021/2022 iliingia katik raundi ya tisa, ambapo michezo mitatu ilipigwa.
Sasa TanzaniaWeb inakuletea uchambuzi na matukio yote muhimu katika michezo hiyo iliyopigwa Ijumaa ya Disemba 17.
Fuatilia hapa chini kuona video za magoli yote, wafungaji na nafasi ya kila timu katika msimamo wa Ligi.
GEITA GOLD VS RUVU SHOOTING
Huu ulikuwa ni mchezo wa awali kabisa uliopigwa katika dimba la Nyankumbu Mkoani Geita na kushuhudia maafande wa Ruvu Shooting wakiondoka vichwa chini kwa goli la dakika za lala salama lililofungwa na Mpole.
Mchezo huu ulimalizika kwa Geita Gold kuibuka na ushindi wa magili 2-1, ushindi ambao umewapeleka mpaka nafasi ya 14 katika msimamo wa Ligi wakiwa na alama zao 8.
Tazama magoli yalivyofungwa katika mchezo huo;
35’: #NBCPremierLeague : Tazama goli la kutangulia la Geita Gold
— Azam TV (@azamtvtz) December 17, 2021
Lyanga 3’
Geita Gold 1-0 Ruvu Shooting
LIVE #AzamSports1DH#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #GeitaGoldVsRuvuShooting #GeitaGold #RuvuShooting #GeitaRuvuShooting pic.twitter.com/Gq2uidoe1K
87’: #NBCPremierLeague : Hili hapa goli la kujifunga la Geita Gold na kufanya matokeo mpaka sasa kuwa 1-1.
— Azam TV (@azamtvtz) December 17, 2021
Lyanga 3’ Nashon 45+2’ (og)
Geita Gold 1-1 Ruvu Shooting
LIVE #AzamSports1DH#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #GeitaGoldVsRuvuShooting pic.twitter.com/4kNJF9jfwN
MATOKEO: #NBCPremierLeague: Goli la ushindi la Geita Gold likifungwa na George Mpole
— Azam TV (@azamtvtz) December 17, 2021
Lyanga 3’ Nashon 45+2’ (og), Mpole 90+1’
FT: Geita Gold 2-1 Ruvu Shooting
Mechi inayoendelea sasa ni
Mbeya Kwanza 0-1 Namungo
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates pic.twitter.com/BbDxzdVPI9
MBEYA KWANZA VS NAMUNGO
Mchezo ulipigwa katika dimba la Kumbu kumbu ya Sokoine kule Jijini Mbeya, na kushuhudia jinamizi la matokeo mabovu likiendelea kuwaandama wageni hao katika Ligi Kuu.
Mbeya Kwanza walikubali kichapo cha goli 1-0, Goli lililofungwa na Lusajo kipindi cha kwanza.
Ushindi huo umewapeleka Namungo mpaka nafasi ya sita katika msimamo wa Ligi na kuwaacha Mbeya kwanza katika hatari ya kushuka daraja.
Tazama hapa Goli la Namungo;
78’: #NBCPremierLeague : Goli la kutangulia la Namungo
— Azam TV (@azamtvtz) December 17, 2021
Reliants Lusajo 9’
Mbeya Kwanza 0-1 Namungo
LIVE #AzamSports1DH#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #MbeyaKwanzaVsNamungo #MbeyaKwanza #NamungoFC pic.twitter.com/InpomP1sma
DODOMA JIJI vs POLISI TANZANIA
Mchezo huu uliopigwa majira ya saa 1:00 ulishuhudia ukimalizika kwa sare ya magoli 1-1.
Kwa sare hii Polisi Tanzania wanaendelea kubaki nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi wakiwa na alama zao 15, huku Dodoma Jiji wakiwa nafasi ya tano.
Tazama magoli yote yalivyofungwa kwenye mchezo huo;
55’: #NBCPremierLeague : Hili hapa goli la kutangulia la Polisi Tanzania baada ya Dodoma Jiji kujifunga wenyewe
— Azam TV (@azamtvtz) December 17, 2021
Dodoma Jiji 0-1 Polisi Tanzania
LIVE #AzamSports1DH#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #DodomaJijiVsPolisiTanzania pic.twitter.com/0DQdzSSezC
90': #NBCPremierLeague : Goli la kusawazisha la Dodoma Jiji
— Azam TV (@azamtvtz) December 17, 2021
Augustino Samson 26’ (og), Anuary Jabir 62’
Dodoma Jiji 1-1 Polisi Tanzania
LIVE #AzamSports1DH#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #DodomaJijiVsPolisiTanzania #DodomaJiji pic.twitter.com/54vnBvaeaw