Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

#NBCLIGIREVIEW: Tazama magoli yote, Azam vs Singida Big Stars (+Video)

Video Archive
Tue, 4 Oct 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Bao pekee la Israel Sospeter Bajana dakika ya 45 na ushei limeipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Baa jana Jumatatu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Bao pekee la Israel Sospeter Bajana dakika ya 45 na ushei limeipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Baa jana Jumatatu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Azam FC inafikisha pointi 11 katika mchezo wa sita na kusogea nafasi ya nne, wakati Singida Big Stars inabaki na pointi zake nane za mechi tano nafasi ya nne.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live