Vinara wa Ligi Kuu Tanzania, Dar Young Africans wameitandika Dodoma Jiji magoli 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Magoli ya Yanga katika mchezo huo yalifungwa na Fiston Mayele, Jesus Moloko, Justine aliejifunga na Kiungo Khalid Aucho.
Katika mchezo huo Yanga waliutawala mchezo kwa kiasi kikubwa huku Yannick Bangala akipiga pasi nyingi zilizofika.
Tazama Magoli yote hapa chini uone ufundi wa Yanga;
#NBCPL Chuma cha kwanza kwa Wananchi; Hili ni goli la tano kwa Fiston Mayele kwenye ligi msimu huu.
— Azam TV (@azamtvtz) December 31, 2021
FT: Yanga 4-0 Dodoma Jiji #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #YangaSC #DodomaJiji #YangaDodomaJiji #YangaVsDodoma pic.twitter.com/xTa8W5yiqM
#NBCPL Chuma cha pili kimetoka DR Congo tena… Huyu ni Jesus Moloko na hili ni goli lake la tatu la msimu kwenye ligi kuu.
— Azam TV (@azamtvtz) December 31, 2021
FT: Yanga 4-0 Dodoma Jiji #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #YangaSC #DodomaJiji #YangaDodomaJiji #YangaVsDodoma pic.twitter.com/IKfWI9ZiAt
#NBCPL Goli la tatu ni la kujifunga…. Beki Justine Omary Bilary akiitendea haki krosi ya Feitoto.
— Azam TV (@azamtvtz) December 31, 2021
FT: Yanga 4-0 Dodoma Jiji #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #YangaSC #DodomaJiji #YangaDodomaJiji #YangaVsDodoma pic.twitter.com/14Ub6rqwSW
#NBCPL Chuma cha nne kimetoka Uganda kwa ‘Daktari wa Mpira’, Khalid Aucho.
— Azam TV (@azamtvtz) December 31, 2021
FT: Yanga 4-0 Dodoma Jiji #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #YangaSC #DodomaJiji #YangaDodomaJiji #YangaVsDodoma @yangasc1935 pic.twitter.com/zDsG8llMFV