Baada ya Kukubali kichapo cha magoli 2-0 wiki iliyopita kutoka kwa Yanga, Jumapili ya Jana wagosi wa kaya, Coastal Union wamekubali tena unyonge katika dimba la mkwakwani Jijini Tanga.
Mbele ya wenyeji wa Kusini, Namungo FC, Coastal wamekubali kichapo cha magoli 3-1.
Mabao ya Namungo FC yamefungwa na washambuliaji Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 38 na mzawa, Relliant Lusajo mawili dakika ya 81 na 85, wakati bao pekee la Coastal alijifunga Abdulmik Zacharia dakika ya 46.
Tazama hapa chini kuona magoli yote katika mchezo huo;
#NBCPLUpdates Goli la Obrey Chirwa alipowatanguliza Namungo FC kwa ‘header’ Fulani hivi…!!!.
— Azam TV (@azamtvtz) January 23, 2022
FT: Coastal 1-3 Namungo. #AzamSports2HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #CoastalUnion #NamungoFC #NamungoNamungo pic.twitter.com/tLtyBeHqv3
#NBCPLUpdates Goli pekee la Coastal Union ni la kujifunga kupitia kwa Abdulmalick Zakaria.
— Azam TV (@azamtvtz) January 23, 2022
FT: Coastal 1-3 Namungo. #AzamSports2HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #CoastalUnion #NamungoFC #NamungoNamungo pic.twitter.com/3sOErRTAiW
#NBCPLUpdates Goli la pili kwa Namungo FC; Kazi ya Reliants Lusajo.
— Azam TV (@azamtvtz) January 23, 2022
FT: Coastal 1-3 Namungo. #AzamSports2HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #CoastalUnion #NamungoFC #NamungoNamungo pic.twitter.com/44lnA5G6c7
#NBCPLUpdates Goli la tatu kwa Namungo; Goli la saba kwa Reliants Lusajo kwenye ligi msimu huu.
— Azam TV (@azamtvtz) January 23, 2022
FT: Coastal 1-3 Namungo. #AzamSports2HD #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #CoastalUnion #NamungoFC #NamungoNamungo pic.twitter.com/NYnjSkqM3Y