Sat, 23 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga kinachoanza dhidi ya Tabora United leo katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma saa 1:00 usiku.
Yanga iko nafasi ya Pili katika msimamo wa Ligi wakiwa na alama 27 baada ya michezo 10.
Azam ndio vinara wa Ligi wakiwa na alama zao 31 huku wakiwa na michezo 13 wa;liyocheza.
Kikosi cha Yanga kinachoanza Leo;
Diarra
Kibwana
Kibabage
Bacca
Job
Sure Boy
Moloko
Mudathir
Musonda
Aziz KI
Maxi
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: