Tue, 6 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Timu ya Yanga wako Jijini Mbeya kukipiga na Mbeya City mchezo wa mzunguko wa 29 wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Yanga ambao wametoka katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika wamefanya mabadiliko makubwa katika kikosi chao huku nyota wanaokosa nafasi mara kwa mara ndio waliopewa nafasi ya kuanza mchezo wa leo;
Tazama hapa Chini Kikosi kamili cha Yanga,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: