Fri, 24 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mnyama anaendelea kutakata katika Dimba la Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora ambapo ubao wa matokeo mpaka sasa unasoma Simba 3 na wenyeji KMC goli 1.
Mnyama anaendelea kutakata katika Dimba la Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora ambapo ubao wa matokeo mpaka sasa unasoma Simba 3 na wenyeji KMC goli 1. Magoli ya Simba yamefunga na Mohammed hussein, Joash Onyango na Kibu Denis aliefunga kipindi cha pili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live