Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mpya wa Yanga princess, Kaider Wilson kutoka Los Angeles Marekani amefunguka kwa mara ya kwanza.
"Ni mara yangu ya kwanza kucheza soka Africa, sikuwahi kufikiria ila namshkuru sana Baba yangu kwa kunipambania."
"Najua ni muda mrefu sana timu yetu haijabeba ubingwa wa ligi ya wanawake lakini msimu huu ni wakwetu nawaahidi mashabiki tutafanya vizuri,"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: