Wed, 28 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Simba raia wa Serbia, Dejan Georgijević amethibitisha kuvunjika kwa mkataba wake na Simba SC.
Kwa mujibu wa taarifa zinadai kuwa Mkataba huo umevunjika kutokana ukiukwaji wa makubaliano ya kimkataba.
Dejan Georgijević kupitia ukurasa wake wa Instagram amethibitisha kuvunjika kwa Mkataba huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live