Taarifa ambazo hazijathibitishwa, kutoka vyanzo mbalimbali zinaeleza kuwa klabu ya Azam inaangalia uwezekano wa kumpata mshambuliaji wa kati wa Yanga Clement Mzize kwa ajili ya kurithi viatu vya mshambualiaji wao Prince Dube aliyeaga klabuni hapo.
Taarifa ambazo hazijathibitishwa, kutoka vyanzo mbalimbali zinaeleza kuwa klabu ya Azam inaangalia uwezekano wa kumpata mshambuliaji wa kati wa Yanga Clement Mzize kwa ajili ya kurithi viatu vya mshambualiaji wao Prince Dube aliyeaga klabuni hapo. Pia Azam inaweza kukaa mezani na Yanga kubadilishana wachezaji hao wawili (Swap Deal) kulingana na mazungumzo ya dili hilo yatakavyokwenda.