Thu, 23 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji Kinda wa Yanga, Clement Mzize amebadili Dini (Kislam) kutoka Ukristo na kuwa Muislamu.
Mzize amebadili dini na hivi sasa ataitwa Walid Mzize hii ikiwa ni Siku ya kwanza ya Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Hata hivyo taarifa hazieleza, sababu kwa za kwa nini ameamua kubadili dini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live