Sun, 6 Feb 2022
Chanzo: eatv.tv
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema atakaa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohammed Mchengerwa ili waongee uwezekano wa kutenga bajeti ya kununua VAR na nyasi bandia.
Mwigulu ameeleza hayo kupitia Ukurasa wake wa Instagram akitolea mfano wa nafasi aliyonyimwa mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele kufunga goli dhidi ya Mbeya City mwamuzi akidai ameotea.
Tazama hapa chini kuona alichoandika Waziri Mwigulu Nchemba;
Chanzo: eatv.tv