Sat, 10 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa Mwenyekiti wa zamani wa Klabu ya Yanga SC, imani Mahugila Madega amefariki Dunia leo Februari 10.
Madega alishawahi Pia Kugombea Urais wa TFF Mwaka 2017 Lakini hakufanikiwa kushinda.
Endelea kuwa karibu na Tanzaniaweb wakati huu tukifuatilia kwa kina chanzo cha msiba huu mzito wa familia ya wanamichezo nchini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: