Mon, 18 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanafunzi wa miaka 17, wa kidato cha Pili katika Shule ya Sekondari Mchinga, mkoani Lindi, (jina linahifadhiwa) amedaiwa kujifungua na kutupa kichanga katika shimo la choo.
Mwanafunzi wa miaka 17, wa kidato cha Pili katika Shule ya Sekondari Mchinga, mkoani Lindi, (jina linahifadhiwa) amedaiwa kujifungua na kutupa kichanga katika shimo la choo. Kichanga hicho kilichozaliwa wiki iliyopita kimeokolewa na mwananchi Ally Hussein, aliyekuwa anapita njiani karibu na choo hicho baada ya kusikia sauti ya mtoto huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live