Sun, 1 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma amewataka wachezaji wa kizawa kufanya vyema kwenye mashindano ya kimataifa ya klabu CAFCL na CAFCC ili kutengeneza kikosi bora cha timu ya Taifa kitakacholeta matunda mazuri kwenye michuano ya Mataifa huru Afrika (AFCON) yatakayofanyika mwakani 2024 ambayo tayari Taifa Stars imefuzu na yale yatakayofanyika 2027 ambayo Tanzania itakuwa wenyeji wa mashindano.
Sikiliza Video kwa urefu hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live