Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi atavaa kamera ya video kwa mara ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo usiku.
Jarred Gillett atatumia kifaa cha kupachikwa kiitwacho ‘RefCam’ wakati akisimamia mchezo wa Crystal Palace vs Man Utd.
Video hiyo haitaonyeshwa moja kwa moja bali Itatumika katika programu ya mara moja kutoa maarifa juu ya usimamizi wa Ligi Kuu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live