Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi ambaye alikuwa kwenye VAR katika mchezo wa Tottenham Hotspur dhidi ya Liverpool(Darren England) aliyefanya makosa ambayo yaliwanyima Liverpool goli ambalo lilifungwa na Luiz Diaz,
Mwamuzi ambaye alikuwa kwenye VAR katika mchezo wa Tottenham Hotspur dhidi ya Liverpool(Darren England) aliyefanya makosa ambayo yaliwanyima Liverpool goli ambalo lilifungwa na Luiz Diaz, Sasa Rasmi amesimamishwa kutokuwa miongoni mwa waamuzi katika mchezo wowote wa Liverpool kwa msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live