Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Siku ya juzi mwamuzi wa pembeni wa Mchezo baina ya Real Betis Balompié dhidi ya Athletic Club anayeitwa Guadalupe Porras aligongana kichwani kwa bahati mbaya na cameraman wa LaLiga wakati akiwa katika majukumu yake, mwamuzi huyo alishindwa kuendelea na majukumu na hivyo kubadilishwa.
Siku ya juzi mwamuzi wa pembeni wa Mchezo baina ya Real Betis Balompié dhidi ya Athletic Club anayeitwa Guadalupe Porras aligongana kichwani kwa bahati mbaya na cameraman wa LaLiga wakati akiwa katika majukumu yake, mwamuzi huyo alishindwa kuendelea na majukumu na hivyo kubadilishwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live