Wed, 3 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nahodha wa Yanga, Bakari Nondo Mwamnyeto anaendelea kuwa mchezaji wa Yanga baada ya kuongeza mkataba wa miaka miwili hadi mwaka 2026.
Nahodha wa Yanga, Bakari Nondo Mwamnyeto anaendelea kuwa mchezaji wa Yanga baada ya kuongeza mkataba wa miaka miwili hadi mwaka 2026. Mwamnyeto ambaye ni beki wa kati, safari yake ndani ya kikosi cha Young Africans SC ilianza Agosti 2020 alliposajiliwa akitokea Coastal Union.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live