Mon, 20 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji Scott Carson sasa ameshinda mataji 11 na klabu ya Manchester City, licha ya kucheza dakika 107 tu za mpira.
Mlinda lango huyo alijiunga na Manchester City kwa mkopo Agosti 2019 kutoka Derby County, ambako alicheza mechi 162 kwa jumla, akitoa asisti mbili. Na kusani mkataba na Manchester City wa kudumu Julai 2021.
Scott Carson mwenye umri wa miaka 38 sasa, akiwa na Manchester City ametwaa:
4x Premier League
1x Champions League
1x FA Cup
2x League Cup
1x Community Shield
1x Super Cup
1x Club World Cup.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live