Aymen Mahious wa USM Alger aliyefunga goli la kwanza dhidi ya Yanga katika fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho Afrika ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Algeria kitakachocheza mechi za kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Uganda na ya kirafiki dhidi ya Tunisia.
Aymen Mahious wa USM Alger aliyefunga goli la kwanza dhidi ya Yanga katika fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho Afrika ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Algeria kitakachocheza mechi za kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Uganda na ya kirafiki dhidi ya Tunisia. Jina lake sio geni kwa sasa katika vichwa vya wapenda kandanda nchini Tanzania kwa kile alichokifanya wikiendi iliyopita.