Mon, 18 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga SC raia wa Zambia, Kennedy Musonda usiku wa kuamkia leo amebahatika kupata mtoto wa kike ambaye amempatia jina la Zamaya Elizabeth Musonda.
Musonda alisajiliwa na Yanga wakati wa dirisha dogo la msimu uliopita akitokea Power Dynamos ya nchini kwao, Zambia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: