Wed, 1 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Black Stars ina mpango wa kumrejesha nchini kiungo wa zamani wa klabu ya Yanga Mukoko Tomombe raia wa Congo DR ambaye kwa sasa anaitumikia TP Mazembe.
Mukoko na TP Mazembe mkataba wao unaisha mwishoni mwa msimu huu huku Singida Black Stars (Ihefu) ikiweka nguvu kwaajili ya kukiunda kikosi chake kuelekea msimu ujao.
Umemis show za teacher Mukoko Tomombe ?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: