Sat, 17 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Goli lililofungwa na Pacome Zouzoua na mengine mawili ya Mudathir Yahya yameifanya Yanga kuibuka na ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya KMC kwenye Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro
Ushindi huo unaifanya Yanga kufikisha pointi 43 na kuendelea kuongoza Msimamo wa Ligi KuuBara kwa tofauti ya pointi 7 dhidi ya Simba na Azam FC zinazoshika nafasi ya pili na tatu mtawalia.
Upande wa KMC imebaki nafasi ya 5 ikiwa na alama 22 katika michezo 16
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: